Mbunge wa Mbinga Mh. Kapten John Komba amefariki dunia leo saa kumi jioni katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar es S...
CHUCHU HANS WA RAY AZIRAI NDANI YA JENEZA
Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans akiwa kwenye jeneza. HII ni kali ya mwaka! Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans amejikuta akiz...
Picha ya Mpenzi wa Diamond , Zari akioga bafuni yazua gumzo mtandaoni
Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu a...
Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa Wagoma Kupokea MAITI Aliyeuawa na Polisi
Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyeuwawa wakati wa mapambano yalioyotokea juzi mkoani Iringa kati yao n...
Baada ya CHADEMA Kuigaragaza CCM, Mbunge wa Sumbawanga Apangua Shinikizo la Kujiuzulu
MBUNGE wa Sumbawanga Mjini (CCM), Aeish Hilaly amesema hatajiuzulu ng’o nafasi yake kama Mbunge kwa sababu za CCM kushindwa...
Watoto wa vigogo marufuku kupewa vizimba Mwanjelwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amepiga marufuku watoto wa vigogo wa serikali, mashirika binafsi, taasisi , madiwani na wanasia...
Ukuaji wa Uchumi waporomoka kutoka 7.4% hadi 6.8%
Pato la Taifa kwa kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka 2014 toka Julai mpaka hadi Septemba 2014 limekuwa na kufikia Trillion 21...
Mwanaume wa Miaka 45 Ahukumiwa kifungo cha maisha Jela kwa kosa la Kumbaka Mtoto wa Miaka Minne
Mwanaume mmoja Yusufu Chatambala (45) mkazi wa Kijiji cha Makutupa Kata ya Lupeta Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma, amehuku...
Serikali yaombwa kuongeza muda wa uandikishaji BVR
Wakati zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR likiingia katika siku ya Nne katika halmasha...
Watu 3 Wateketea Kwa Moto Baada ya Lori La Mafuta Kupinduka na Kuwaka Moto
Watu watatu wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kuteketea kabisa akiwemo dereva na utingo wake baada ya lori la mafuta ...
Profesa Anna Tibaijuka Ahojiwa Na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma.....Mashitaka yanayomkabili na Utetezi wake Vyote Viko Hapa
BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma, limemsomea rasmi mashitaka aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...
CHENGE AKATA RUFAA
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maad...
TIKO: NATAKA MTOTO WA PILI, WA KUNIPA MIMBA SINA!!
Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema kuwa anatamani kupata mtoto wa pili kwa sababu mtoto wake wa kwanza amefikisha miaka 10, ...
CHID BENZ APATA MAJANGA TENA!
HUKU kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya ikiwa bado inaendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar, msanii wa ...
CHID BENZI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MIWILI JELA AU KULIPA FAINI YA SH. 900,000..
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kif...
MH TEMBA KUTOKA TMK WANAUME APANDISHWA MAHAKAMANI KWA KUTISHIA KUUA…
Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Amani James aka Mh Temba jana amefikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Temeke jijini Dar es s...
FIRST LOOK: SEE JENNIFER HUDSON AND RITA ORA ON EMPIRE, PLUS THE BIG STARS PLANNED FOR SEASON 2...
NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi
NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi na Mahakama ya Mwanzo ya Magomeni j...
Crazy GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa ngoma mpya
Msanii wa East Coast Team, King Crazy GK ameingia studio kurekodi ngoma mpya na Vanessa Mdee.
Msanii wa Bongo Movies Aibuka na Kudai Ana Mimba ya Marehemu MEZ B
MSANII wa filamu za Kibongo, Doreen Reguna ‘Queen Magali’ amefunguka kuwa kifo cha staa wa Bongo Fleva, Moses Mshagama ‘Mez B’ ni p...
Pole Chris Brown mwenzako nilichekwa-Ommy Dimpoz
Msanii Omary Nyembo alimaarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka na kusema kuwa watu wa uhamiaji duniani kote huwa hawatambui umaa...
BINTI AFUNGIWA NDANI NA WAZAZI WAKE TOKA 2009 ILI ASIOLEWE
Siku za nyuma kulikuwa na story ambazo tuliwahi kuzisikia ama watu wazima wanaweza kukumbuka enzi hizo wazazi wanakuchambulia mchum...
Yusuph Mlela na Esha Buheti Wakiwa Nchini Marekani
Hizi ni baadhi ya picha za waigizaji Yusuph Mlela na Esha Buheti wakiwa nchini Marekani ambako wamekwenda kufanya kazi (Filamu) wakiwa ...
Malick: Sijaona Kama Rose Ndauka
Bwana Malick Bandawe amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa tangu aten...
MHUBIRI ANAYEHUBIRIA WATU BARABARANI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUWAPIGIA KELELE WATU WAKATI AKIHUBIRI
Mama Mchungaji, Martha Nagbe Martha Nagbe alijikuta akitozwa faini na Mahakama kwa kesi ya usumbufu na kupigia kelele maji...
Riyama: Tajiri na Mali Yake, Masikini na Wanawe
Mwigizaji wafilamu anaesifika kwa uwezo wake mkubwa wakuvaa uhusika anapokuwa anaigiza, Riyama Ally amelez...
MWALIMU WA SEKONDARI YA KIBASILA AAMUA KUKAA NA KINYESI, MENDE NA FUNZA NDANI KWA MIAKA MIWILI
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imeingilia kati tukio la mwalimu wa Sekondari ya Kibasila, Gaudensia Albert kukaa na kinyesi ,men...
WATOTO WALIOUAWA KINYAMA NA KULIWA MOYO NA MUUAJI WAZIKWA KWA MAJONZI HUKO KENYA,
Moja ya taarifa kutoka Nairobi Kenya ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke mmoja ambaye baada ya...
Shilole Ataja Chanzo cha Migogoro na Nuh Mziwanda
Mwanamziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migog...
MWANAMKE AMUUZA MTOTO WAKE MCHANGA WA UMRI WA SIKU 5, ILI APATE FEDHA ZA KUJIKIMU
Mwanamke mmoja ameieleza mahakama ya nchini Kenya kwamba alilazimika kumuuza mtoto wake wa siku tano kutokana na umaskini wa kupindu...
WANAFUNZI WATUPWA JELA BAADA YA KUIGIZA IGIZO LINALOIGUSA SERIKALI
Wanafunzi wawili Thailand wamejikuta wakiingia kwenye mikono ya Sheria kutokana tu na igizo ambalo walitunga kwa ajili ya maazimisho...
KESI YA MBUNGE ALIYOFUNGULIWA NA MKEWE KUANZA KUSIKILIZWA JUMATATU IJAYO MAHAKAMANI
KESI ya madai ya masuala ya ndoa dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar Abdallah Sharia Ameir (CCM) iliyofunguliwa dhidi yak...
MTOTO MCHANGA AUAWA NA KUTUPWA KICHAKANI MKOANI MOROGORO
Matukio ya kutupa watoto wachanga yameendelea mkoani Morogoro ambapo mtoto mchanga wa siku moja ameuwa na kutupwa vichakani kat...
CHENGE KIBOKO, BARAZA LA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA LASHINDWA KUMHOJI
Baraza la maadili ya utumishi wa umma limeshindwa kumuhoji mbunge wa Bariadi Magharibi Mh Endrew Chenge baada kuwasilisha zuio la maha...
UKAWA WAITAKA SERIKALI KUSITISHA ZOEZI LA UPIGAJI KURA YA MAONI YA KATIBA PENDEKEZWA
Viongozi wa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA umeitaka serikali kusitisha zoezi la upigaji wa kura ya maon...
JESHI LA POLISI LAPATA AIBU KUBWA, POLISI WAKE AKUTWA AKIFANYA MAPENZI HADHARANI AKIWA AMEVAA SARE ZA JESHI HILO
Unakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandao...
BASI LA NGOMUO LAPATA AJALI MBAYA YA KUPINDUKA MARA TATU HUKO SINGIDA
Watu wawili mkoani Singida wamekufa na wengine zaidi ya ishirini na tano wamejeruhiwa kwa kuvunjika mikono na miguu katika aja...
Migodi ya Dhahabu Nchini Kuanza Kulipa Ushuru
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; n...
Rais Kikwete Aweka Shada la Maua Katika Makaburi ya Marais Lusaka Zambia
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Mic...
Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Aua Mwanafunzi Mwenzake Darasani Wakati Wakigombania Daftari la Notes
Mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Ilola iliyopo katika wilaya ya Shinyanga vijijini aitwaye Veronica Venance mw...
Vodacom na Tigo waungana kutoa huduma bora za kifedha
Huduma za kutuma na kupokea fedha na kufanya mihamala mbalimbali ya malipo zinazotolewa na makampuni ya Vodacom Tanzania kupitia hudum...
Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu
Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’ imewakuna watu wengi na kufanya kuwa ni moja kati y...
Rais Kikwete apokea vitabu Mil 2.5 vya Sayansi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema serikali itaendelea kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kwa lengo la kuha...
Warioba Ashutumu Ubinafsi wa Vyama vya Siasa Katika Mchakato wa Kura ya Maoni
Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba amevitaka vyama vya siasa kuzi...