Mwigizaji wafilamu anaesifika kwa uwezo wake mkubwa
wakuvaa uhusika anapokuwa anaigiza, Riyama Ally amelezea furaha yake ya
kuwa mama na kuwatakia baraka wanawake na wakina mama wote.
“Raha ya dunia ni watoto tajiri na maliyake maskini na wanawe
tupende watoto wote kwani watoto ni zawadi toka kwa MUNGU pia watoto ni
faraja kubwa sana....
Asante sana MUNGU kwa zawadi ya Fatma Nakupenda
sanaaaaaaaaaa Fatma kwani umenipa faraja ya kuitwa mama nawaombea
wanawake wote waliokua bado hawaja jaaliwa kupata watoto basi inshallah
Mwenyezimungu akawajaalie kizazi chema kizazi bora inshallah amin.
Na kwa walio fiwa na watoto wao Allah awajalie subira na faraja za
nafsi awajalie watoto wingine inshallah awe watoto wa kheri amin
Nawapenda sanaaaaaaaaaa".- Riyama aliandika haya mtandaoni.
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment