Jb: Mzee wa Swaga Ndio Movie Yangu Ninayoipenda Sana Tangu Niaze Kuigiza

Mwigizaji  na muongozaji wa fiamu hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameitaja filamu ya Mzee wa Swaga kua ndio bora zaidi kati ya filamu zake zote tangu aanze kuigiza.


“Kosa la defence ...ni goli....nafasi ya 1.ndugu zangu. Tangu nianze kuigiza hii movie naipenda sanaaa....”-JB aliandika.

Jb: Mzee wa Swaga Ndio Movie Yangu Ninayoipenda Sana Tangu Niaze Kuigiza 1


Wakati  ya filamu ya Mzee wa Swaga ambayo imetoka mwanzoni mwa mwaka huu akiitaja kuwa namba moja, namba mbili ilikwenda kwa  filamu yake  ya 14 Days, tatu,  Senior Bachelor , nne, DJ Ben,  huku tano akiitaja filamu ya   Nakwenda kwa Mawanangu.

JB alizitaja tano zake bora ikiwa ni ahadi aliyoitoa kwa mashabiki wake mtandaoni  siku chache zilizopita. SOMA HAPA

Facebook Blogger Plugin by AllyTz

Post a Comment

 
Top