Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alifunguka mtandaoni kama ifuatavyo;
"Siku zote napenda kusmile hata kama nina magumu napitia, siku zote
moyo wangu baridi upoza machngu ninayopewa na ninayotwikwa na
kulazimishwa kuumizwa hata kama staki lakini tabasamu moyo wangu
uliyopoa sura yangu ya upole isiyo na hatia ndio imekuwa fimbo ya
kuchapwa kwa kuamini nina moyo wa kusahau mabaya na mwepesi wa
kusamehe".
"Kweli
niko hivyo lakini nikikusamehe kwa mabaya uliyonitendea hauwezi kuwa na
nafasi nzuri katika maisha yangu, na ukinigeuza gazeti la kunisoma kila
siku maisha yangu ukayafanya kama yako na kunitafisiri vile unavyotaka
na kuniona ninacho wakati sina na kunidharau kwa kuniona sina wakati
hata njia zangu za kipato uzijuie uwe ndugu rafiki mpenzi jirani sikupi
nafsi ndani ya moyo wangu kama mtu muhimu nakupa nafasi kama filamu
ndani macho yangu nakupa na good smile fake kununa ni kujizeesha cheka
kinafki kama uliyenae mnafki"..... Wastara aliandika mtandaoni.
Je unamaoni gani juu ya falsafa ya mwanadada huyu.
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment