“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa
kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza
kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka
machoni uku moyo umekunjama.
Hahahahaha.alianza Wastara, Mona, Sasa
zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA .
CHAO pamoja
wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”-
Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity
alibandika andiko hili mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya wawili
hao hapo juu.
Tunawatakia kila la kheri huko muendako
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment