Staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.
STAA wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya.
Akizungumza na Centre Spread, Aunty alisema anawashangaa
wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha kweli kabisa na kwamba
hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata ujauzito huo.
“ Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya hao wanaozungumza kitu ambacho
si cha kweli. Hakuna mtu ambaye anajua nilipata ujauzito lini na
nitajifungua lini, waniache kabisa,” alisema Aunty.
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment