Muimbaji kutoka Uganda ‘Juliana Kanyomozi’ amesema yeye ” binafsi ni
shabiki wa nyimbo za msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz na ana furaha
sana kwa mafanikio aliyopata, anakipaji kikubwa ,anawakilisha Afrika
Mashariki kwa ukubwa zaidi huko nje” .
Akaaulizwa kama atafanya wimbo na Diamond utakuaje na utaitwaje,
Juliana anasema “Ukiwa studio mambo mengi yanatokea, sababu ni msanii
anayefanya nyimbo za mapenzi nadhani utakuwa wimbo wa mapenzi, na
mkubali na amebarikiwa katika kazi zake ” .
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment