Mfanyakazi wa
Kampuni ya Mwananchi Communications, Patrick Pella amevamiwa na
majambazi wenye silaha na kupigwa risasi, kujeruhiwa na kisha kuporwa
fedha zake leo mchana maeneo ya Tabata-Relini jijini Dar es salaam

Mtandao
huu ulimtafuta Kamanda wa Polisi mkoa wa Ilala, Mary Nzuki kuelezea
zaidi tukio hilo, lakini simu yake iliita bila kupokelewa.
Facebook Blogger Plugin by AllyTz
Post a Comment