Sina  uhakika  kama  Mbunge  wa  Monduli,Edward  Lowassa  anaweza  kupata  nafasi  ya  kupumzika  awapo  bungeni...

Ni  nadra  na  mara  nyingi  haiwezi  kutokea  kumuona  Lowassa  akiwa  peke  yake  akipumzika  bila  ya  kuwa  na  wabunge  wengine  katika  kiti  cha  pembeni  kushoto  kwake...

Mara  anapoingia  ndani  ya  ukumbi  wa  bunge,wabunge  wengi  humfuata  kwa  zamu  na  hata  kusubiriana  wakitaka  kuzungumza  naye.
Haijulikani  ni  kitu  gani  wanachozungumza   naye,lakini  ukweli  ni  kuwa  Lowassa  ni  mbunge  pekee  anayeongoza kuzungumza  na  wabunge  ndani  ya  ukumbi  wa  bunge..
Ni  jambo  ambalo  wabunge  wengine  linaweza  kushangaza  kuwaona  wenzao  wakipanga  foleni  kwenda  kuzungumza  na  kiongozi  huyo  wa  zamani.

Facebook Blogger Plugin by AllyTz

Post a Comment

 
Top